HUYU NDIYE BLOGGER WA BLOG HII, KWA SASA ANAENDELEA NA UTARATIBU WA KUWASILIANA NA BAADHI YA MAKAMPUNI KAMA VILE PEPSI, TIGO, VODACOM NA SUMSUNG ILI KUBORESHA PREVIEW YA BLOG HII IKIWA NI PAMOJA NA KUPATA UDHAMINI/KUTOA MATANGAZO YA BIASHARA KUPITIA BLOG HII.
TEMBELEA KILA WAKATI UPATE HABARI ZA KUKUJENGA KIMWILI NA KIROHO PIA, PAMOJA TUNAJENGA MWILI WA KRISTO NA KWA NENO LAKE TUNAISHI MAANA KUISHI KWETU NI KRISTO BALI KUFA KWETU NI FAIDA ASEMA BWANA WA MAJESHI.
Monday, 29 April 2013
The Voice Watimiza Miaka 19 Ya Kuundwa Kwao
Katika anniversary hiyo iliyofana siku ya jana The Voice walifana sana na kukonga nyoyo za wahudhuriaji ambao walikuwa wamefurika ndani na nje ya ukumbi.
THE VOICE KAZINI, WAPO KIKAZI ZAIDI.
MA MC WA TUKIO KULIA NI SAM SASALI a.k.a AKIWA KIKAZI ZAIDI
Subscribe to:
Posts (Atom)



